1 Samweli 20:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Yonathani akamwapia tena Daudi kwa sababu ya upendo wake kwake; kwa maana alimpenda jinsi alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.+ 2 Wafalme 25:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Gedalia akawaapia+ wao pamoja na watu wao, akawaambia: “Msiogope kuwa watumishi wa Wakaldayo. Kaeni katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babiloni, na itakuwa vema kwenu.”+
17 Basi Yonathani akamwapia tena Daudi kwa sababu ya upendo wake kwake; kwa maana alimpenda jinsi alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.+
24 Ndipo Gedalia akawaapia+ wao pamoja na watu wao, akawaambia: “Msiogope kuwa watumishi wa Wakaldayo. Kaeni katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babiloni, na itakuwa vema kwenu.”+