Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Daudi akamwambia+ Nathani: “Nimemtendea Yehova dhambi.”+ Kwa hiyo Nathani akamwambia Daudi: “Yehova naye ameacha dhambi yako ipite.+ Hutakufa.+

  • Zaburi 51:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+

      Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+

      Ili uwe mwadilifu unapoongea,+

      Ili usiwe na lawama unapohukumu.+

  • Danieli 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 tumetenda dhambi,+ tumekosa, tumetenda kwa uovu na kuasi;+ nasi tumegeuka kando kutoka katika amri zako na kutoka katika maamuzi yako ya hukumu.+

  • Danieli 9:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Ee Yehova, kwetu sisi kuna aibu ya uso, kwa wafalme wetu, kwa wakuu wetu na kwa mababu zetu, kwa maana tumekutendea dhambi.+

  • 1 Yohana 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tukiungama dhambi zetu,+ yeye ni mwaminifu na mwadilifu hata atusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki