Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na hakika wao wataungama kosa lao wenyewe+ na kosa la baba zao katika ukosefu wao wa uaminifu walipojiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kunielekea mimi, naam, wakati ambapo walitembea kwa kunipinga.+

  • Ezra 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Tangu siku za mababu zetu+ tumekuwa katika hatia kubwa mpaka leo hii;+ na kwa sababu ya makosa yetu, sisi wenyewe, wafalme wetu,+ makuhani wetu,+ tumetiwa mikononi mwa wafalme wa nchi hizi kwa upanga,+ kwa kutekwa+ na kuporwa+ na kwa aibu ya uso,+ kama ilivyo leo hii.

  • Nehemia 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao uzao wa Israeli wakajitenga+ na wageni+ wote, wakasimama na kuungama+ dhambi zao wenyewe+ na makosa ya baba zao.+

  • Zaburi 106:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Tumetenda dhambi kama mababu zetu;+

      Tumefanya kosa; tumetenda kwa uovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki