22 Kwa maana kulikuwa na wengi ambao walianguka wakiwa wameuawa, kwa sababu pigano lilikuwa la Mungu wa kweli.+ Nao wakaendelea kukaa mahali pao mpaka wakati wa ule uhamisho.+
17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.