Yeremia 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Zuia mguu wako usiwe mguu wazi, na koo yako isiwe na kiu.+ Lakini ulisema, ‘Hakuna matumaini!+ Hapana, lakini mimi nimewapenda wageni,+ nami nitawafuata.’+ Ezekieli 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “‘Lakini ulianza kuutegemea urembo wako+ nawe ukawa kahaba kwa sababu ya jina lako+ na kumimina matendo yako ya ukahaba kwa kila mpita-njia;+ ukawa wake.
25 Zuia mguu wako usiwe mguu wazi, na koo yako isiwe na kiu.+ Lakini ulisema, ‘Hakuna matumaini!+ Hapana, lakini mimi nimewapenda wageni,+ nami nitawafuata.’+
15 “‘Lakini ulianza kuutegemea urembo wako+ nawe ukawa kahaba kwa sababu ya jina lako+ na kumimina matendo yako ya ukahaba kwa kila mpita-njia;+ ukawa wake.