Mambo ya Walawi 26:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Walipokuwa wameiacha nchi yao, ilikuwa ikilipa sabato zake+ na kukaa ukiwa bila mtu yeyote, nao walikuwa wakilipia dhambi zao, kwa sababu walikataa amri zangu na kuchukia sheria zangu.+
43 Walipokuwa wameiacha nchi yao, ilikuwa ikilipa sabato zake+ na kukaa ukiwa bila mtu yeyote, nao walikuwa wakilipia dhambi zao, kwa sababu walikataa amri zangu na kuchukia sheria zangu.+