Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na jina lako halitakuwa Abramu tena, jina lako litakuwa Abrahamu, kwa sababu nitakufanya kuwa baba ya umati wa mataifa.

  • Mwanzo 46:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hawa ndio wana wa Lea,+ aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, na binti yake Dina.+ Nafsi zote za wanawe na za binti zake zilikuwa ni 33.

  • 1 Mambo ya Nyakati 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:+ Rubeni,+ Simeoni,+ Lawi+ na Yuda,+ Isakari+ na Zabuloni,+

  • Waroma 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kama ilivyoandikwa: “Nimekuweka wewe kuwa baba ya mataifa mengi.”)+ Hili lilikuwa machoni pa Yule ambaye katika yeye alikuwa na imani, ndiyo, machoni pa Mungu, anayewafanya wafu kuwa hai+ na kuyaita mambo yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki