Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Wewe nawe, nenda zako kuelekea ule mwisho;+ nawe utapumzika,+ lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako mwishoni mwa zile siku.”+

  • Luka 20:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba,+ anapomwita Yehova ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+

  • Waefeso 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+

  • Waebrania 11:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini alifikia uamuzi kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kumfufua hata kutoka kwa wafu;+ na kutoka huko alimpokea pia kwa njia ya mfano.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki