Danieli 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Wewe nawe, nenda zako kuelekea ule mwisho;+ nawe utapumzika,+ lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako mwishoni mwa zile siku.”+ Luka 20:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba,+ anapomwita Yehova ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+ Waefeso 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+ Waebrania 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini alifikia uamuzi kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kumfufua hata kutoka kwa wafu;+ na kutoka huko alimpokea pia kwa njia ya mfano.+
13 “Wewe nawe, nenda zako kuelekea ule mwisho;+ nawe utapumzika,+ lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako mwishoni mwa zile siku.”+
37 Lakini hata Musa alifunua kwamba wafu watafufuliwa, katika masimulizi juu ya ule mti wa miiba,+ anapomwita Yehova ‘Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.’+
2 Zaidi ya hilo, ninyi ndio ambao Mungu alifanya kuwa hai ingawa mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,+
19 Lakini alifikia uamuzi kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kumfufua hata kutoka kwa wafu;+ na kutoka huko alimpokea pia kwa njia ya mfano.+