13 Zaidi ya hilo, ingawa mlikuwa wafu katika makosa yenu na katika hali ya kutotahiriwa ya mwili wenu, Mungu aliwafanya ninyi kuwa hai pamoja naye.+ Yeye alitusamehe kwa fadhili makosa yetu yote+
6 Kwa kweli, kwa kusudi hili habari njema ilitangazwa kwa wafu+ pia, ili wahukumiwe kuhusiana na mwili kwa maoni ya wanadamu+ lakini waishi kuhusiana na roho+ kwa maoni ya Mungu.