Luka 20:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yeye ni Mungu, si wa wafu, bali wa walio hai, kwa maana kwake, hao wote wako hai.”+ 1 Wakorintho 1:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na Mungu alivichagua vitu vinyonge vya ulimwengu na vitu vinavyodharauliwa, vitu ambavyo si kitu,+ ili kuvifanya viwe si kitu+ vitu ambavyo ni kitu 1 Petro 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa kuwa wakati mmoja ninyi mlikuwa si watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ mlikuwa wale ambao hawakuwa wameonyeshwa rehema, lakini sasa ninyi ni wale ambao wameonyeshwa rehema.+
28 na Mungu alivichagua vitu vinyonge vya ulimwengu na vitu vinavyodharauliwa, vitu ambavyo si kitu,+ ili kuvifanya viwe si kitu+ vitu ambavyo ni kitu
10 Kwa kuwa wakati mmoja ninyi mlikuwa si watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ mlikuwa wale ambao hawakuwa wameonyeshwa rehema, lakini sasa ninyi ni wale ambao wameonyeshwa rehema.+