65“Wale ambao hawakuwa wameniuliza+ nimewaacha wanitafute.+ Wale ambao hawakuwa wamenitafuta nimewaacha wanipate.+ Nimesema, ‘Mimi hapa, mimi hapa!’+ kwa taifa ambalo halikuwa linaliitia jina langu.+
23 Nami hakika nitampanda yeye duniani kama mbegu kwa ajili yangu,+ nami nitamwonyesha rehema yeye ambaye hakuonyeshwa rehema,+ nami nitawaambia wale ambao si watu wangu: “Ninyi ni watu wangu”;+ wao nao watasema: “Wewe ni Mungu wangu.” ’ ”+