2 Samweli 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha,+ na Daudi akachukua Metheg-ama kutoka mkononi mwa Wafilisti. Danieli 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+
8 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha,+ na Daudi akachukua Metheg-ama kutoka mkononi mwa Wafilisti.
44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+