2 Samweli 22:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Alikuwa akinikomboa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Kutoka kwa wale wanaonichukia; kwa sababu walikuwa na nguvu kuliko mimi.+ 1 Mambo ya Nyakati 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha na kuchukua Gathi+ na miji yake ya kandokando kutoka mkononi mwa Wafilisti.
18 Alikuwa akinikomboa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+Kutoka kwa wale wanaonichukia; kwa sababu walikuwa na nguvu kuliko mimi.+
18 Na ikawa baadaye kwamba Daudi akawapiga Wafilisti+ na kuwatiisha na kuchukua Gathi+ na miji yake ya kandokando kutoka mkononi mwa Wafilisti.