Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+

      Neno la Yehova ni safi.+

      Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+

  • Zaburi 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+

      Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,

      Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+

  • Zaburi 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+

      Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+

  • Yakobo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kila zawadi njema na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ ambaye habadiliki au kugeuka kama kivuli.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki