Mwanzo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ Mwanzo Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 15:1 w10 4/15 8 Mwanzo Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:1 Mnara wa Mlinzi (2010),4/15/2010, uku. 8
15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+