1 Samweli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Samweli akamwambia maneno hayo yote, wala hakumficha lolote. Ndipo yeye akasema: “Ni Yehova. Na afanye yaliyo mema machoni pake.”+ 1 Petro 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa;+
18 Basi Samweli akamwambia maneno hayo yote, wala hakumficha lolote. Ndipo yeye akasema: “Ni Yehova. Na afanye yaliyo mema machoni pake.”+
6 Kwa hiyo, jinyenyekezeni chini ya mkono wenye nguvu wa Mungu, ili awainue ninyi katika wakati unaofaa;+