6 Iweni hodari na wenye nguvu.+ Usiogope wala kushtuka mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wako ndiye anayepiga mwendo pamoja nawe. Hatakutupa wala kukuacha kabisa.”+
7 “Iweni hodari na wenye nguvu.+ Msiogope+ wala msiwe na hofu+ kwa sababu ya mfalme wa Ashuru+ na kwa sababu ya umati wote ulio pamoja naye;+ kwa maana kuna wengi walio pamoja nasi kuliko wale walio pamoja naye.