2 Samweli 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaweka kambi za kijeshi katika Edomu.+ Katika Edomu yote akaweka kambi za kijeshi, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi;+ na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+ Zaburi 18:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+ Zaburi 144:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wewe unayewapa wafalme wokovu,+Wewe unayemweka Daudi mtumishi wako huru kutokana na upanga wenye kuumiza.+
14 Naye akaweka kambi za kijeshi katika Edomu.+ Katika Edomu yote akaweka kambi za kijeshi, na Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi;+ na Yehova akaendelea kumwokoa Daudi popote alipoenda.+
48 Ananiokoa kutoka kwa adui zangu wenye hasira;+Utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu,+Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye jeuri.+
10 Wewe unayewapa wafalme wokovu,+Wewe unayemweka Daudi mtumishi wako huru kutokana na upanga wenye kuumiza.+