Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kisha Daudi akamuuliza hivi Ahimeleki Mhiti+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atakayeshuka pamoja nami kwenda kwa Sauli kambini?” Abishai akajibu: “Mimi nitashuka pamoja nawe.”

  • 2 Samweli 3:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi Yoabu na Abishai+ ndugu yake walimuua Abneri+ kwa sababu alimuua Asaheli ndugu yao vitani+ kule Gibeoni.

  • 2 Samweli 10:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wanaume waliobaki aliwaweka chini ya usimamizi wa* Abishai ndugu yake,+ ili awapange kivita kupigana na Waamoni.+

  • 2 Samweli 20:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Daudi akamwambia Abishai:+ “Huenda Sheba+ mwana wa Bikri atatuletea madhara makubwa zaidi kuliko Absalomu.+ Wachukue watumishi wangu mimi bwana wako umfuatie, ili asipate majiji yenye ngome na kutuponyoka.”

  • 2 Samweli 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mara moja Abishai+ mwana wa Seruya akaja kumsaidia,+ akampiga Mfilisti huyo na kumuua. Wakati huo wanaume wa Daudi wakamwapia hivi: “Usiende tena vitani pamoja nasi!+ Usiizime taa ya Israeli!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki