2 Samweli 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi Abishai+ mwana wa Seruya akaja mara moja kumsaidia,+ akampiga yule Mfilisti na kumuua. Ndipo watu wa Daudi wakamwapia, wakisema: “Usiende tena pamoja nasi vitani,+ usije ukaizima+ taa+ ya Israeli!” 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:17 Mnara wa Mlinzi,1/15/2013, kur. 30-31
17 Basi Abishai+ mwana wa Seruya akaja mara moja kumsaidia,+ akampiga yule Mfilisti na kumuua. Ndipo watu wa Daudi wakamwapia, wakisema: “Usiende tena pamoja nasi vitani,+ usije ukaizima+ taa+ ya Israeli!”