6 Kisha Daudi akamuuliza hivi Ahimeleki Mhiti+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atakayeshuka pamoja nami kwenda kwa Sauli kambini?” Abishai akajibu: “Mimi nitashuka pamoja nawe.”
18 Basi wana watatu wa Seruya+ walikuwa mahali hapo—Yoabu,+ Abishai,+ na Asaheli;+ naye Asaheli alikuwa na mbio sana* kama swala katika nchi tambarare.
18 Abishai+ ndugu ya Yoabu mwana wa Seruya+ alikuwa kiongozi wa wengine watatu; alitumia mkuki wake kuwaua watu 300, naye alikuwa maarufu kama wale watatu.+