13 Basi Samweli akachukua ile pembe ya mafuta+ na kumtia mafuta mbele ya ndugu zake. Na roho ya Yehova ikaanza kumtia nguvu Daudi kuanzia siku hiyo na kuendelea.+ Baadaye Samweli akainuka na kwenda zake Rama.+
12 Basi Daudi alikuwa mwana wa Yese,+ Mwefrathi+ kutoka mji wa Bethlehemu+ wa Yuda, ambaye alikuwa na wana wanane+ na ambaye katika siku za Sauli alikuwa tayari amezeeka.