1 Mambo ya Nyakati 2:13-15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu,+ wa tatu Shimea,+ 14 wa nne Nethaneli, wa tano Radai, 15 wa sita Ozemu, na wa saba Daudi.+
13 Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu,+ wa tatu Shimea,+ 14 wa nne Nethaneli, wa tano Radai, 15 wa sita Ozemu, na wa saba Daudi.+