2 Samweli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wana watatu wa Seruya+ walikuwa mahali hapo—Yoabu,+ Abishai,+ na Asaheli;+ naye Asaheli alikuwa na mbio sana* kama swala katika nchi tambarare. 2 Samweli 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi Yoabu na Abishai+ ndugu yake walimuua Abneri+ kwa sababu alimuua Asaheli ndugu yao vitani+ kule Gibeoni. 2 Samweli 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Asaheli+ ndugu ya Yoabu alikuwa miongoni mwa wale 30: Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu,+
18 Basi wana watatu wa Seruya+ walikuwa mahali hapo—Yoabu,+ Abishai,+ na Asaheli;+ naye Asaheli alikuwa na mbio sana* kama swala katika nchi tambarare.
30 Basi Yoabu na Abishai+ ndugu yake walimuua Abneri+ kwa sababu alimuua Asaheli ndugu yao vitani+ kule Gibeoni.