Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 27:8, 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Daudi alikuwa akipanda pamoja na wanaume wake kuwavamia Wageshuri,+ Wagirzi, na Waamaleki,+ kwa maana walikuwa wakikaa katika nchi iliyoanzia Telamu mpaka Shuri+ na kushuka mpaka nchi ya Misri. 9 Daudi alipokuwa akiishambulia nchi, hakumwacha hai mwanamume wala mwanamke yeyote,+ bali alichukua kondoo, ng’ombe, punda, ngamia, na mavazi, kisha alirudi kwa Akishi.

  • 1 Samweli 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Daudi akapata vitu vyote ambavyo Waamaleki walikuwa wamechukua,+ naye akawaokoa wake zake wawili.

  • 1 Samweli 30:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Daudi akachukua makundi yote ya kondoo na ng’ombe, nao wakawatanguliza wanyama hao mbele ya mifugo yao wenyewe. Wakasema: “Hizi ni nyara za Daudi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki