1 Samweli 30:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Daudi akachukua makundi yote na mifugo, ambayo waliitanguliza mbele ya ile mifugo mingine. Kisha wakasema: “Hii ni nyara ya Daudi.”+
20 Basi Daudi akachukua makundi yote na mifugo, ambayo waliitanguliza mbele ya ile mifugo mingine. Kisha wakasema: “Hii ni nyara ya Daudi.”+