-
1 Samweli 30:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Basi Daudi akachukua makundi yote ya kondoo na ng’ombe, nao wakawatanguliza wanyama hao mbele ya mifugo yao wenyewe. Wakasema: “Hizi ni nyara za Daudi.”
-