Kumbukumbu la Torati 17:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata hivyo, hapaswi kujipatia farasi wengi+ au kuwafanya watu warudi Misri kuchukua farasi wengi zaidi,+ kwa kuwa Yehova aliwaambia hivi: ‘Msirudi huko tena kamwe kupitia njia hii.’ Zaburi 33:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Farasi ni tumaini la uwongo la wokovu;*+Nguvu zake nyingi hazimhakikishii mtu kwamba ataponyoka.
16 Hata hivyo, hapaswi kujipatia farasi wengi+ au kuwafanya watu warudi Misri kuchukua farasi wengi zaidi,+ kwa kuwa Yehova aliwaambia hivi: ‘Msirudi huko tena kamwe kupitia njia hii.’