Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 7:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Yehova alikuwa amesababisha kambi ya Wasiria isikie sauti ya magari ya vita na farasi, sauti ya jeshi kubwa.+ Basi wakaambiana: “Tazama! Mfalme wa Israeli amekodi wafalme wa Wahiti na wafalme wa Misri watushambulie!” 7 Mara moja wakaondoka na kukimbia katika giza la jioni, wakaacha mahema yao, farasi wao, punda wao, na kambi yote kama ilivyokuwa, wakakimbia ili kuokoa maisha yao.*

  • Zaburi 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+

      Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+

  • Methali 21:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Farasi hutayarishwa kwa ajili ya siku ya vita,+

      Lakini wokovu ni wa Yehova.+

  • Isaya 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta msaada,+

      Wanaotegemea farasi,+

      Wanaotumaini magari ya vita kwa sababu ni mengi,

      Na farasi wa vita* kwa sababu wana nguvu.

      Lakini hawamtegemei Mtakatifu wa Israeli,

      Na hawamtafuti Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki