Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akasema: “Sikilizeni kwa makini, enyi watu wote wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Yehova anawaambia hivi: ‘Msiogope wala msihofu kwa sababu ya umati huu mkubwa, kwa maana vita si vyenu bali ni vya Mungu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hamtahitaji kupigana vita hivi. Simameni mahali penu, simameni tuli,+ muuone wokovu wa Yehova kwa ajili yenu.*+ Enyi watu wa Yuda na Yerusalemu, msiogope wala msihofu.+ Kesho nendeni mkakabiliane nao, na Yehova atakuwa pamoja nanyi.’”+

  • Zaburi 68:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu anayeokoa;+

      Na Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu huokoa kutoka katika kifo.+

  • Ufunuo 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao wanaendelea kusema kwa sauti kubwa: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu, anayeketi kwenye kiti cha ufalme,+ na kwa Mwanakondoo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki