Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 1:29, 30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Kwa hiyo nikawaambia, ‘Msiwe na hofu wala msiogope kwa sababu yao.+ 30 Yehova Mungu wenu atawatangulia na kuwapigania,+ kama alivyofanya kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe.+

  • Yoshua 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi wakatoka na majeshi yao yote, watu wengi sana kama chembe za mchanga kwenye ufuo wa bahari, pamoja na farasi na magari mengi sana ya vita.

  • Yoshua 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Usiwaogope+ kwa sababu kesho, wakati kama huu, nitawatia wote mikononi mwa Waisraeli, nanyi mtawaangamiza. Mtakata mishipa ya miguu ya farasi wao,+ na kuyachoma moto magari yao.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Iweni jasiri na imara. Msiogope wala msihofu kwa sababu ya mfalme wa Ashuru+ na umati wote ulio pamoja naye, kwa maana walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja naye.+ 8 Yeye anategemea mkono wa nyama* lakini sisi tuna Yehova Mungu wetu wa kutusaidia na kupigana vita vyetu.”+ Basi watu wakaimarishwa na maneno ya Mfalme Hezekia wa Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki