Isaya 30:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mtakatifu wa Israeli, anasema hivi: “Mkirudi kwangu na kupumzika, mtaokolewa;Mtakuwa na nguvu mkiendelea kuwa watulivu na kuwa na tumaini.”+ Lakini hamkutaka.+
15 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, Mtakatifu wa Israeli, anasema hivi: “Mkirudi kwangu na kupumzika, mtaokolewa;Mtakuwa na nguvu mkiendelea kuwa watulivu na kuwa na tumaini.”+ Lakini hamkutaka.+