Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muone jinsi Yehova atakavyowaokoa leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena kamwe.+ 14 Yehova mwenyewe atawapigania ninyi,+ nanyi mtakaa kimya.”

  • Kutoka 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,* kwa maana amekuwa wokovu wangu.+

      Huyu ni Mungu wangu, nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nitamkweza.+

  • 1 Samweli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha Hana akasema hivi katika sala:

      “Moyo wangu unashangilia katika Yehova;+

      Pembe yangu imekwezwa* na Yehova.

      Kinywa changu kimefunguliwa wazi dhidi ya maadui wangu,

      Kwa maana ninashangilia kwa sababu ya matendo yako ya wokovu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mwimbieni Yehova, dunia yote!

      Tangazeni wokovu wake siku baada ya siku!+

  • Maombolezo 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ni jambo jema kuungojea kimyakimya*+ wokovu wa Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki