Zaburi 83:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+ Zaburi 148:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+
18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+
13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+