2 Samweli 22:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Yehova yuko hai! Mwamba wangu na asifiwe!+ Mungu wa mwamba wa wokovu wangu na akwezwe.+ Isaya 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu. Ninakukweza, ninalisifu jina lako,Kwa maana umetenda mambo yanayostaajabisha,+Mambo yaliyokusudiwa* tangu nyakati za kale,+Kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.
25 Ee Yehova, wewe ni Mungu wangu. Ninakukweza, ninalisifu jina lako,Kwa maana umetenda mambo yanayostaajabisha,+Mambo yaliyokusudiwa* tangu nyakati za kale,+Kwa uaminifu,+ kwa kutegemeka.