Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini msimwasi Yehova, nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana tutawashinda kwa urahisi.* Ulinzi wao umeondolewa, na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”

  • Kumbukumbu la Torati 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Anapaswa kuwaambia hivi: ‘Sikilizeni, enyi Waisraeli, hivi punde mtapigana na maadui wenu. Msife moyo. Msiogope wala msihofu wala kutetemeka kwa sababu yao,

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akasema: “Sikilizeni kwa makini, enyi watu wote wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Yehova anawaambia hivi: ‘Msiogope wala msihofu kwa sababu ya umati huu mkubwa, kwa maana vita si vyenu bali ni vya Mungu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hamtahitaji kupigana vita hivi. Simameni mahali penu, simameni tuli,+ muuone wokovu wa Yehova kwa ajili yenu.*+ Enyi watu wa Yuda na Yerusalemu, msiogope wala msihofu.+ Kesho nendeni mkakabiliane nao, na Yehova atakuwa pamoja nanyi.’”+

  • Zaburi 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.

      Nimwogope nani?+

      Yehova ni ngome ya uhai wangu.+

      Nimhofu nani?

  • Zaburi 46:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu,+

      Msaada unaopatikana kwa urahisi nyakati za taabu.+

  • Isaya 41:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+

      Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+

      Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+

      Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki