Kumbukumbu la Torati 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ndiye anayepiga mwendo mbele yako, naye ataendelea kuwa pamoja nawe.+ Hatakutupa wala kukuacha. Usiogope wala usihofu.”+ Yoshua 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo Yoshua akawaambia: “Msiogope wala msihofu.+ Iweni jasiri na imara, kwa maana hivi ndivyo Yehova atakavyowatendea maadui wenu wote ambao mnapigana nao.”+
8 Yehova ndiye anayepiga mwendo mbele yako, naye ataendelea kuwa pamoja nawe.+ Hatakutupa wala kukuacha. Usiogope wala usihofu.”+
25 Ndipo Yoshua akawaambia: “Msiogope wala msihofu.+ Iweni jasiri na imara, kwa maana hivi ndivyo Yehova atakavyowatendea maadui wenu wote ambao mnapigana nao.”+