Yoshua 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Tena Yoshua akawaambia: “Msiogope wala msiingiwe na hofu.+ Iweni hodari na wenye nguvu, kwa maana hivi ndivyo Yehova atakavyowatendea adui zenu wote ambao mnapigana vita nao.”+
25 Tena Yoshua akawaambia: “Msiogope wala msiingiwe na hofu.+ Iweni hodari na wenye nguvu, kwa maana hivi ndivyo Yehova atakavyowatendea adui zenu wote ambao mnapigana vita nao.”+