16 Itajulikanaje kwamba mimi nimepata kibali machoni pako, mimi na watu wako? Je, haitajulikana ukienda pamoja nasi,+ ili mimi na watu wako tuonekane kuwa tofauti na watu wengine wote duniani?”+
20“Mkienda vitani kupigana na maadui wenu na kuona kwamba farasi wao na magari yao ya vita na wanajeshi wao ni wengi kuliko ninyi, msiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wenu aliyewatoa nchini Misri yuko pamoja nanyi.+