Kumbukumbu la Torati 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Msiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wenu ndiye anayewapigania ninyi.’+ Kumbukumbu la Torati 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Iweni jasiri na imara.+ Msiogope wala msiwe na hofu mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu ndiye anayepiga mwendo pamoja nanyi. Hatawatupa wala kuwaacha.”+ Zaburi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+ Methali 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Farasi hutayarishwa kwa ajili ya siku ya vita,+Lakini wokovu ni wa Yehova.+
6 Iweni jasiri na imara.+ Msiogope wala msiwe na hofu mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu ndiye anayepiga mwendo pamoja nanyi. Hatawatupa wala kuwaacha.”+
7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+