Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova mwenyewe atawapigania ninyi,+ nanyi mtakaa kimya.”

  • Kutoka 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yehova ni shujaa mwenye nguvu.+ Yehova ndilo jina lake.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Yehova Mungu wenu atawatangulia na kuwapigania,+ kama alivyofanya kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe.+

  • Kumbukumbu la Torati 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili awapiganie dhidi ya maadui wenu na kuwaokoa ninyi.’+

  • Yoshua 10:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Yoshua aliwateka wafalme hao wote na nchi zao kwa wakati mmoja, kwa sababu Yehova Mungu wa Israeli alikuwa akiwapigania Waisraeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki