Kutoka 14:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova mwenyewe atawapigania ninyi,+ nanyi mtakaa kimya.” Kutoka 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni shujaa mwenye nguvu.+ Yehova ndilo jina lake.+ Kumbukumbu la Torati 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Yehova Mungu wenu atawatangulia na kuwapigania,+ kama alivyofanya kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe.+ Kumbukumbu la Torati 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili awapiganie dhidi ya maadui wenu na kuwaokoa ninyi.’+ Yoshua 10:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Yoshua aliwateka wafalme hao wote na nchi zao kwa wakati mmoja, kwa sababu Yehova Mungu wa Israeli alikuwa akiwapigania Waisraeli.+
30 Yehova Mungu wenu atawatangulia na kuwapigania,+ kama alivyofanya kule Misri mbele ya macho yenu wenyewe.+
4 kwa maana Yehova Mungu wenu anapiga mwendo pamoja nanyi ili awapiganie dhidi ya maadui wenu na kuwaokoa ninyi.’+
42 Yoshua aliwateka wafalme hao wote na nchi zao kwa wakati mmoja, kwa sababu Yehova Mungu wa Israeli alikuwa akiwapigania Waisraeli.+