Kutoka 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu, Isaka, na Yakobo kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kwa jina langu Yehova+ sikujitambulisha kwao.+ Isaya 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;Simpi yeyote utukufu wangu,*Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+
3 Nami nilikuwa nikimtokea Abrahamu, Isaka, na Yakobo kama Mungu Mweza-Yote,+ lakini kwa jina langu Yehova+ sikujitambulisha kwao.+
8 Mimi ni Yehova. Hilo ndilo jina langu;Simpi yeyote utukufu wangu,*Wala kuzipa sanamu za kuchongwa sifa yangu.+