Yoshua 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uwe jasiri na imara,+ kwa sababu ni wewe utakayewaongoza watu hawa kuirithi nchi niliyowaapia mababu zao kwamba nitawapa.+ Zaburi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtumaini Yehova;+Uwe jasiri na uwe na moyo mkuu.+ Naam, mtumaini Yehova. Zaburi 118:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova yuko upande wangu; sitaogopa.+ Mwanadamu atanifanya nini?+
6 Uwe jasiri na imara,+ kwa sababu ni wewe utakayewaongoza watu hawa kuirithi nchi niliyowaapia mababu zao kwamba nitawapa.+