Zaburi 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hakika hakuna yeyote anayekutumaini atakayeaibishwa,+Lakini aibu inawangoja wale wanaotenda kwa hila bila sababu.+ Zaburi 62:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, ninamngojea* Mungu kimyakimya+Kwa sababu tumaini langu linatoka kwake.+
3 Kwa hakika hakuna yeyote anayekutumaini atakayeaibishwa,+Lakini aibu inawangoja wale wanaotenda kwa hila bila sababu.+