Isaya 51:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mimi mwenyewe Ndiye ninayewafariji.+ Kwa nini umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa+Na mwana wa binadamu atakayenyauka kama majani mabichi? Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+ Waebrania 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+
12 “Mimi mwenyewe Ndiye ninayewafariji.+ Kwa nini umwogope mwanadamu anayeweza kufa ambaye atakufa+Na mwana wa binadamu atakayenyauka kama majani mabichi?
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+