Isaya 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+ Isaya 66:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama mama anavyomfariji mwanawe,Ndivyo nitakavyoendelea kuwafariji;+Nanyi mtafarijiwa kwa sababu ya Yerusalemu.+
13 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi mbingu, na ushangilie, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio cha shangwe.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+Naye huwaonyesha rehema watu wake mwenyewe wanaoteseka.+
13 Kama mama anavyomfariji mwanawe,Ndivyo nitakavyoendelea kuwafariji;+Nanyi mtafarijiwa kwa sababu ya Yerusalemu.+