Hesabu 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini msimwasi Yehova, nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana tutawashinda kwa urahisi.* Ulinzi wao umeondolewa, na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.” Kumbukumbu la Torati 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 msiwaogope.+ Mnapaswa kujikumbusha mambo ambayo Yehova Mungu wenu alimtendea Farao na nchi yote ya Misri,+
9 Lakini msimwasi Yehova, nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana tutawashinda kwa urahisi.* Ulinzi wao umeondolewa, na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”
18 msiwaogope.+ Mnapaswa kujikumbusha mambo ambayo Yehova Mungu wenu alimtendea Farao na nchi yote ya Misri,+