Kumbukumbu la Torati 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Kwa hiyo nikawaambia, ‘Msiwe na hofu wala msiogope kwa sababu yao.+ Kumbukumbu la Torati 31:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Iweni jasiri na imara.+ Msiogope wala msiwe na hofu mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu ndiye anayepiga mwendo pamoja nanyi. Hatawatupa wala kuwaacha.”+ Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani? Isaya 41:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’
6 Iweni jasiri na imara.+ Msiogope wala msiwe na hofu mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu ndiye anayepiga mwendo pamoja nanyi. Hatawatupa wala kuwaacha.”+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani?
10 Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe.+ Usihangaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia,+Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume wa uadilifu.’