Zaburi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+ Zaburi 33:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Farasi ni tumaini la uwongo la wokovu;*+Nguvu zake nyingi hazimhakikishii mtu kwamba ataponyoka. Isaya 31:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta msaada,+Wanaotegemea farasi,+Wanaotumaini magari ya vita kwa sababu ni mengi,Na farasi wa vita* kwa sababu wana nguvu. Lakini hawamtegemei Mtakatifu wa Israeli,Na hawamtafuti Yehova.
7 Wengine hutegemea magari ya vita na wengine farasi,+Lakini sisi tunaliitia jina la Yehova Mungu wetu.+
31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta msaada,+Wanaotegemea farasi,+Wanaotumaini magari ya vita kwa sababu ni mengi,Na farasi wa vita* kwa sababu wana nguvu. Lakini hawamtegemei Mtakatifu wa Israeli,Na hawamtafuti Yehova.