Kutoka 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Yehova akawaokoa Waisraeli siku hiyo kutoka mikononi mwa Wamisri,+ nao Waisraeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kwenye ufuo wa bahari. Kutoka 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mawimbi makubwa yaliwafunika; wakazama vilindini kama jiwe.+ Zaburi 136:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Alimkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.
30 Kwa hiyo Yehova akawaokoa Waisraeli siku hiyo kutoka mikononi mwa Wamisri,+ nao Waisraeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kwenye ufuo wa bahari.
15 Alimkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele.